• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wajasiliamali zaidi ya 600 wapewa elimu ya ujasiriamali

Tarehe iliyowekwa: October 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesema Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam ametenga zaidi ya shilingi Bilioni 11 Kwa ajili ya kuwawezesha Wananchi katika kujikwamua Kiuchumi.


Mhe. Mpogolo ameyabainisha hayo leo Oktoba 23, 2024 Jijini Dar es salaam mara baada ya kufunga Mafunzo yyaliofanyika muda wa siku tatu kwa Wajasiriamali 600 katika Chuo Cha Elimu ya Biashara CBE yalioenda sambamba na maadhimisho ya miaka 60 ya chuo hicho.

Amesema lengo la Mafunzo hayo ni kuhakikisha Wana Ilala wanajikwamua kiuchumi na kuliwezesha Taifa kupata Maendeleo hivyo Serikali imeamua kuwa na makundi matatu ya utoaji mikopo ambapo kundi la kwanza litapewa kuanzia shilingi laki 5 hadi milioni 10 la pili milioni 10 hadi 50 na la tatu milioni 50 hadi 150.

"Sisi kama Jiji tunakwenda kulipa kipaumbele kundi la kwanza kwasababu ndio lenye kina Mama wengi ambao wanakabiliwa na changamoto ya masuala ya mikopo ya kausha damu hivyo tunakwenda kutatua changamoto hii." Ameema Mpogolo.

Amesema ni tija kwa Wafanyabiashara kupata Elimu hio katika kufanya Biashara zao hivyo tunamshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuirejesha mikopo ya asilimia 10.

Katika kumuunga mkono Rais Samia kwenye kuhakikisha Nchi inaacha matumizi ya nishati chafu badala yake inatumia nishati safi, Jiji limejipanga kuwakopesha majiko ya Gesi Mama Lishe na Baba  ili waweze kuokoa kiasi Cha pesa shilingi elfu 40 hadi 50 kwa wiki.

"Sambamba na hayo tunakwenda kuwasaidia Vijana wa bodaboda zaidi ya 150,000 Kwa kuwapa Elimu ya kibiashara,Usalama Barabarani na Elimu ya mikopo." Ameongeza Mhe. Mpogolo.

Nae Mkuu wa Chuo Cha CBE Prof. Edda Tandi Lwoga amesema watahakikisha Elimu hio walioitoa Kwa Wajasiriamali hao inakwenda kuenea Nchi nzima ili Watanzania waweze kuwa na uelewa juu ya masuala ya Mikopo na Biashara.

Nao Baadhi ya Wajasiriamali walioshiriki Mafunzo hayo wameishukuru Serikali Kwa kuwapa fursa hio ambapo Mafunzo hayo yamewafungua katika kuwawezesha kibiashara na kuiomba Serikali iendelee kuawatafuta kwani wengi wao hawana Elimu ya Biashara.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.