• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Walimu Wakuu Jiji la DSM wamefanya ziara ya mafunzo Jijini Kigali

Tarehe iliyowekwa: June 7th, 2024

Walimu Wakuu wa Shule za Msingi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamefanya ziara ya mafunzo ya siku nne kuanzia Juni 4 hadi Juni 8, 2024 Nchini Rwanda lengo likiwa ni kubadilishana uzoefu katika masuala ya Elimu.

Aidha, mafunzo hayo yanayolenga kuongeza fursa na kuimarisha ubora wa elimu ya msingi katika Jiji la Dar es Salaam, yamehudhuriwa na Walimu Wakuu 48 kutoka Shule zote za Msingi za Jiji la Dar es Salaam na yanasimamiwa na Taasisi ya Rwanda Cooperation chini ya Wizara ya Mambo ya Nje Nchini Rwanda.

Kwa upande wake Mratibu wa Mafunzo hayo Mwl. Simon Mndendemi ameeleza kuwa “Mafunzo haya yamekua ni chachu ya mafanikio kwetu kwani tumejifunza mambo mengi ikiwemo matumizi ya ICT katika kufundishia na kujifunza, jinsi ya kupunguza mdondoko wa wanafunzi, mbinu za kisasa na kufundishia, utunzaji na uhifadhi wa mazingira, programu ya lishe shuleni,  ushiriki wa jamii katika kuchangia Elimu, utamaduni unavyoweza kutumika katika kukuza umoja ,uzalendo na uwajibikaji pamoja na  ubunifu na uendelezaji wa vipaji vya watoto, uboreshaji wa madarasa (smart classrooms) hivyo kutokana na mada hizi nimatumaini yangu tunaenda kuboresha elimu yetu”.

Sambamba na hilo, Mwl. Mndendemi amemshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa kuwawezesha kushiriki mafunzo haya huku akiaahidi kuwa kupitia mafunzo hayo watahakikisha wapunguza tatizo la utoro kwa wanafunzi, watawajali Walimu wengine kwa  kutoa motisha kwa Walimu na wanafunzi ili kuongeza ufaulu, wataweka mkazo katika kufundisha kwa njia ya vitendo zaidi kuliko nadharia , wataanzisha Programu za kutambua vipaji vya watoto, kuwatia moyo na kuviendeleza vipaji vyao bila kusahau kuweka mkazo katika matumizi ya vifaa vya TEHAMA kwa walimu na wanafunzi pamoja na kushirikisha jamii katika programu ya utoaji wa chakula shuleni na maendeleo ya shule yote haya yatasaidia kuboresha elimu na kuongeza ufaulu kwa shule za Msingi za Jiji la Dar es Salaam.

Aidha, akiongea kwa niaba ya Walimu wenzake Mwl. Anthony Everiste kutoka Rwanda amefurahishwa na ujio huo ambao umekua chachu ya wao kubadilishana uzoefu na kujifunza  kwani kupitia mafunzo hayo wameweza  kujifunza jinsi tunavyotekeleza mpango mkakati wa ujifunzaji (KPI) huku wakiipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwa namna wanavyowajali Walimu kwani kwenye nchi yao haijawahi kutokea walimu wakapewa fursa ya kujifunza nchi nyingine.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.