• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wasimamizi, Waratibu na Wajumbe wa Kamati za huduma ya mikopo kwa ngazi ya Kata, Halmashauri na Wilaya wajengewa uwezo kusimamia utoaji wa Mikopo ya Asilimia 10

Tarehe iliyowekwa: October 4th, 2024

Mkurugunzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndg. Elihuruma Mabelya emeeleza kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inatekeleza agizo la Serikali la kuhakikisha  wasimamizi, waratibu na wajumbe wa Kamati za huduma ya mikopo kuanzia ngazi ya Kata, Halmashauri na Wilaya wanapatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo katika utoaji na usimamizi wa mikopo kwa kutumia mfumo mpya.

Ndg. Mabelya ameyasema hayo leo Oktoba 04, 2014 wakati wa ufunguzi wa mafunzo yaWajumbe wa Kamati za Huduma za mikopo ngazi ya Kata, Halmashuri na Wilaya ya utoaji na usimamizi wa mikopo ya asilimia (10%) kwa vikundi vya Wananwake, Vijana na Watu wenye ulemavu yanayofanyika kwa muda wa siku 3 katika Ukumbi wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere Iliyopo Kibaha Mkoani Pwani.

Aidha, Ndg. Mabelya ameeleza kuwa Serikali imeanza kutoa mikopo ya asilimia 10 baada ya hapo awali kusitishwa kutokana na changamoto zilizojitokeza huku akimshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kurejesha mikopo ya asilimia 10 na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuwa miongoni mwa Halmashauri zilizochaguliwa kwa awamu nyingine.

"Mnano mwezi Aprili, 2024 Mh. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alitangaza kurejesha tena utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kuanzia Julai 2024 kwa utaratibu wa kutumia benki kwa Halmashauri 10 za majaribio Halmashauri ya jiji la Dar es salaam ikiwa ni mojawapo hivyo niwahakikishie tu baada ya mafunzo haya nitashirikiana na watendaji wangu kuhakikisha mikopo hiyo inatolewa kwa ufanisi pia nitoe rai kwenu kuhakikisha mnawajibika katika kushiriki, utulivu na uelewa ili mkatende kwa weledi na kuongeza ufanisi na tija zaidi ili kutimiza adha ya Mhe. Rais ya kuwakwamua wananchi kiuchumi". Amesema.

Sambamba na hilo, Ndg. Mabelya ameeleza kuwa Halmashauri imepanga kutoa mikopo kwa jumla ya vikundi 360, ikiwa vikundi 150 ni vya wanawake, 150 vijana na 60 ni kwa watu wenye ulemavu ambapo jumla ya shilingi bilioni  11.8 zinategemewa kutolewa kwa vikundi hivyo na kipaumbele ni kwa miradi inayolenga matumizi ya nishati safi kwa mama lishe, kuboresha mazingira kwa wanawake wafabiashara katika masoko, kuboresha mazingira ya vijana waendesha bodaboda na bajaji na kuanzisha na kuendeleza  viwanda vya uzalishaji samani za ofisi na mashuleni sambamba na kuboresha miradi ya uzalishaji tofali na uuzaji wa vifaa vya ujenzi huku akieleza kuwa Halmashauri inaendelea kufatilia deni la  mikopo kiasi cha shilingi Bilioni 19.7 ambapo kati ya hizo jumla ya shilingi bilioni 15.9 ipo ndani ya muda wa marejesho na jumla ya shilingi bilioni 4 wapo nje ya muda wa marejesho na wanaendelea kurejesha kwa mujibu wa makubaliano mapya.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.