• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watendaji na Wenyeviti wa Mtaa Jiji la DSM Kushirikiana bega kwa bega kufuatilia marejesho ya mikopo katika vikundi

Tarehe iliyowekwa: November 30th, 2022

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam leo tarehe 30 Novemba 2022 limeweza kukamilisha mafunzo ya ufahamu wa mfumo wa kujisajili vikundi kwa wenyeviti na watendaji wa mtaa kutoka jimbo la Segerea, mfumo huu ni maalumu kwa  vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ambapo Mikopo hiyo inatolewa na Halmashauri kutoka katika asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri kuweza kujisajili wakati wa kuomba mikopo.

Huu ni mwendelezo kwa Jimbo la Segerea ambapo siku ya tarehe 28 ilikua Jimbo la Ukonga na tarehe 29 jimbo la Ilala kikao hiki kimefanyika katika ukumbi wa Mikutano Anatoglou uliopo Mnazi Mmoja Dar es Salaam.

Akiwasilisha mada na taarifa juu ya vikundi mbalimbali ambavyo tayari vimechukua mkopo,Mkuu wa kamati ya Ufuatiliaji urejeshwaji wa mikopo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaaam Bibi Margaresa Mazwile amesema. “Ushiriki wenu wenyeviti na watendaji wa mtaa ni kushirikiana na nyinyi katika kufuatilia marejesho ya mikopo hii kutoka kwa wananchi waweze kurejesha kwa sababu kulipa kwao kunaongeza nafasi na  kukuza wigo wa kuzidi kukopesha vikundi vingine ambavyo vinasubiri mkopo”

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inatekeleza maagizo haya ya utoaji mkopo kwa wananchi kwa kiwango kikubwa na cha kuridhisha hivyo basi kimeandaa mpango mkakati wa kuweza kuwa bega kwa bega na wanyeviti na watendaji wote katika majimbo yote matatu yaliopo ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ili kuweza kufuatilia mikopo hii kukuza ushirikiano kwa viongozi hawa wa chini utadumishwa daima.

Akiongea Mwenyekiti wa kikao hiki kati ya kamati ya maendeleo ya jamii kutoka Ofisi ya Mkurugenzi na watendaji wa mtaa na wenyeviti bwana George S. Mtambalike ambaye pia ni mwenyekiti wa wenyeviti Jimbo la Segerea amesema

“Tunashukuru kwa mafunzo haya ya ufahamu katika mfumo huu Pamoja na kutambua taratibu zote za uombaji wa mikopo tunahaidi ushirikiano wetu kwenu na ushirikiano huu uanzie huku chini tutafanikiwa”.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.