• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watendaji wa Kata Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wapewa mafunzo ya namna ya Kusimamia Mapato kwa Kutumia Mfumo wa TAUSI

Tarehe iliyowekwa: March 31st, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Kitengo TEHAMA leo Machi 31, 2023 wametoa mafunzo ya mifumo ya ukusanyaji wa mapato kwa kutumia mfumo wa TAUSI ambao ulianza kutumika Novemba,2022.

Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Arnatoglou Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam yaliweza kuhudhuriwa na Watendaji Kata wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Mada tatu ziliweza kuwasilishwa ikiwa ni sehemu ya kuwajengea uwezo watendaji hao kuelewa mfumo huo, aidha mada hizo ilikua ni pamoja na Kufugwa kwa mfumo ww ukusanyaji wa ukusanyaji Mapato wa LGRCIS, mfumo mpya wa ukusanyaji wa mapato wa TAUSI pamoja na mfumo wa ukusanyaji mapato TERMIS (Maegesho).

Akiongoza mafunzo hayo kwa niaba ya Muweka Hazina wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salam Msimamizi wa Mapato wa Halmashauri ya Jiji Bw.Thomas Shingi amesema “Niwashukuru kwa kuja kwenye mafunzo haya ya kukuza ongezeko la ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri yetu kwani kutokana na mlichojifunza leo naamini mtakua wasimamismizi wazuri wa mfumo wa TAUSI kwa wakusanyaji wa mapato wa Kata zenu pia ikitoke kuna changamoto yoyote linabidi mtushirikishe sisi ili tuweze kutatua tatizo hilo na kuhakikisha tunakusanya mapato kwa wingi.”

Aidha Bw.Shingi ameendelea kusema “Kutokana na ulinzinuliowekwa katika mfumo huu natoa wito kwenu muhakikishe wafanya biashara wote wanajisajili kwenye mfumo,msibe mianya ya rusha katika ukusanyaji wa mapato hivyo naamini kwa mafuzo mliyoyapata mtaenda kutekeleza vyema majukumu yenu kwa kiasi kikubwa na ongezeko la ukusanyaji wa mapato litaongezeka kwa kiwango cha juu kabisa.”

Akitoa mafunzo hayo Afisa TEHAMA wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Neema Ngavatula ameeleza kuwa kutokana na changamoto zilizobainiwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) katika mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji wa mapato LGRCIS uliokua ukitumika mwaka wa fedha 2014/2015 kutoendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ililazimika mfumo huo kufungwa mwaka wa fedha 2022/2023 na hivyo kuanzishwa mfumo Mpya wa TAUSI.

“Mfumo huu mpya wa TAUSI ambao huendana na kasi ya teknolojia huishi hadi miakoa 20 ikiwa ni kipindi cha muda mrefu ambapo pia mfumo huu huweza kugundua hatari kwa haraka na kuzuia kwa haraka huku ukiweza kumsaidia mteja kujihudumia kupitia dirisha la mteja (Taxpayer Portal) ambapo mteja ataweza kulipa tozo, ushuru, leseni, faini pamoja na vibali mbalimbali bila kufika ofisi za mapato za Halmashauri.” Ameeleza Bi.Neema

Sambamba na hilo mfumo wa TAUSI unaweza kumsaidia mwananchi kujihudumia mwenyewe pindi anapotaka kuanzisha biashara kwani ataweza kutumia simu yake ya mkononi kujisajili katika mfumo na atapata huduma zote kadiri ya anavyohitaji kwa kutumia kiunganishi(Link) ‘tausi.tamisemi.go.tz.’

Akiendelea kutoa Mafunzo hayo Afisa TEHAMA Bw. Ezekia Pwele ameeleza kuwa mfumo wa mapato kutoka chanzo cha maegesho Mfumo ni mfumo ambao ulikua ukitumiwa na wakala wa Barabara za Mjininna Vijijini (TARURA ) hivyo baada Mfumo huu kukabidhiwa kwenye halmashauri inawalizimu kutoa mafunzo kwa wananchi ili waweze kujua kuhusu mfumo huu kwani ikitoke mwananchi kakutwa na kosa la kuegesha garinsehemu isiyoruhusiwa itawawezesha wakusanyaji wa mapato ya maegesho kupiga picha namba za gari na moja kwa moja ataandikiwa deni lake na ujumbe mfupi utamfikia na namna atakavyotakiwa kulipa deni.

Aidha Mwananchi kwa kutumia namba ya gari anaweza kutumia mfumo huo kuangalia deni lake au kulipa deni kwa kutumia kiunganishi (Link) ‘ termis.tarura.go.tz’

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.