• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Saam watakiwa kusimamia na kutekeleza majukumu yao Kikamilifu

Tarehe iliyowekwa: March 3rd, 2023

Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam waelekezwa kuhakikisha wanawajibika na wanatekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kuzingatia taratibu za utendaji kazi, sheria, kanuni na miongozo iliyopo.

Hayo yamebainishwa leo Machi 03,2023 wakati wa Kikao kazi na Maafisa Biashara wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Wahasibu wanaokusanya mapato, Watendaji wa Kata, Auxiliary Polisi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na Watumishi wengine kutoka idara ya ya Utumishi na Idara ya Uwekezaji, viwanda na biashara kilichofanyika katika Ukumbi wa Arnatoglou Jijini Dar es Salaam, lengo likiwa ni kujadili na kuweka mikakati madhubuti juu ya ukusanyaji wa mapato yanayokusanywa kwenye vyanzo mbalimbali vyaHalmashauri ya Jiji.

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Afisa Utumishi wa Jiji hilo Bi. Susan Mahhu ameeleza kuwa baada ya vikao vya Bajeti kufanyika na kupitiwa, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeweza kuongezewa kiasi cha ukusanyaji wa mapato kwa Asilimia 35 kutoka kukusanya bilioni 81 hadi Bilioni 102 hivyo kikao hiki kimefanyika kwa lengo la kuwakumbusha watumishi kutekeleza majukumu yao na kwa kasi zaidi ili kufikia lengo lililowekwa na Serikali.

Aidha Bi. Susan ameendelea kusema “Watumishi wengi wanaonekana kushindwa kutekeleza majukumu yao na wengine kutokuwajibika kwani wengi imeonekana kutokufika kwenye maeneo yaonya kazi kwa wakati. Pia Wafanyabiashara wengi wameonekana kulalamikia polisi hivyo niwaombe Polisi tutekeleze majukumu yetu kwa haki na usawa tusimpendelee wala kumuona mtu yoyote vilevile nawakumbusha muwahi katika vituo vya kazi lengo letu ni kuongeza ukusanyaji wa mapato kwa kiwango cha hali ya juu.”

Sambamba na hilo amewataka watumishi wote wanaofanya kazi kwenye Kata wafike kazini kwa wakati na kutakua na mahudhurio katika Kata na ikitokea mtu hawajibiki atawajibishwa kwa kufuata sheria na Kanuni za utendaji kazi. 

Naye Afisa Biashara wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Ndg. Nickas Msemwa amesema “Nipende kutoa shukurani zangu za dhati kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa kufanya kikao hiki kwani kupitia kikao hiki naamini kila mmoja ataenda kutekeleza majukumu yake ipasavyo pia kwa upande wetu maafisa biashara tuhakikishe tunawajibika ipasavyo kwani Bajeti imeongezeka kwa asilimia 35% kutoka bilioni 81 hadi bilioni 102 tofauti na ilivyokua awali hivyo Utendaji wa kazi unatakiwa ubadilike kuendana na jukumu kuongezeka, hivyo tunatakiwa tufanye kazi kwa ushirikiano na tuweke mikakati mathubuti kwenye vyanzo vyetu na pia kila mtu abadilike na awajibike katika eneo lake.

Pia ameendelea kusema mikakati hiyo itaanzaia katika kata na kila Kata wajiwekee malengo katika ukusanyaji wa mapato na endapo Kata itakusanya zaidi ya malengo fedha hizo zinaweza kutumika katika kutatua changamoto za Kata hizo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.