• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Ziara ya mafunzo katika Mji wa Strangnas nchini Sweden

Tarehe iliyowekwa: May 2nd, 2017

Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika picha ya pamoja na wenyeviti wa kamati za kudumu za Manispaa ya  Strängnäs baada ya mkutano wao uliofanyika Aprili 3, 2017 katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Strängnäs. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Watoto na Elimu, Maria Ehrnfeldt, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Ingrid Fäldt, Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii, Monica Lindell Rylen, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana, Mwenyekiti wa Manispaa ya  Strängnäs, Jacob Hogfeldt,  Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni, Maabad Hoja, Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi na Miundombinu, Sixten Skullman na mratibu wa mradi wa mawasiliano wa “Youth  Democracy”, Helena Edvisson.

Manispaa ya Strängnäs (Strängnäs kommun) nchini Sweden katika Jimbo la Södermanland, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA), ilitoa mwaliko kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kushiriki katika mafunzo nchini Sweden yaliyohusu “Exchange Program: Municipal Partnership” kwa lengo la kujifunza mafanikio ya mji wa Strängnäs katika mfumo wake wa elimu unaowashirikisha wanafunzi na vijana ambao  wapo katika shule za awali, shule za msingi na sekondari katika kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo ya mji wa Strängnäs kupitia mabaraza ya wanafunzi/vijana ikiwa ni pamoja na kuwaandaa kuwa viongozi wa nafasi mbalimbali chini ya mradi wa “Youth Democracy”.

Manispaa ya Strängnäs yenye wakazi 34,000 imeonesha nia ya kushirikiana na Jiji la Dar es Salaam kujengea uwezo vijana na kuendeleza vipaji vyao katika shule za awali, msingi na sekondari kwa kuanzisha mabaraza ya wanafunzi/vijana(Pupils/Youth Councils) chini ya mradi wa “Youth Democracy” kwa ufadhili wa SIDA. Mafunzo hayo ni hatua ya mwanzo “inception phase” yaliyokuwa na lengo la kuiwezesha Dar es Salaam kupata uelewa wa dhana ya “Youth Democracy” na kufanya maandalizi ya utekelezaji wake.


Menejimenti ya Manispaa ya Strängnäs ikijadiliana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Bi. Sipora Liana, katika mkutano uliofanyika Aprili 1, 2017 katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Strängnäs kuhusu utekelezaji wa mradi wa “Youth Democracy” katika Jiji la Dar es Salaam


Ujumbe wa Dar es Salaam ukipokea maelezo kutoka kwa mmoja wa walimu wa sanaa na utamaduni wa chuo cha utamaduni cha Manispaa ya Strängnäs nchini Sweden wakati wa ziara yao ya mafunzo

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.