• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mradi wa Maboresho ya Mtaa wa Samora

Start Date: 2017-01-01
End Date: 2017-08-03

Mradi wa Maboresho ya Mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam unafadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia JICA ambao unagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 400,000 na ulianza kutekelezwa mnamo mwezi Januari, 2017 na kukamilika mwezi Agosti, 2017. Mradi huu ni miongoni mwa miradi ya mifano ambayo imeandaliwa kwa pamoja na wataalam wa JICA na wa Taasisi mbalimbali za Serikali ya Tanzania zinazojihusisha na usafiri/usafirshaji katika Jiji la Dar es Salaam.

Lengo la Mradi:

  1. Kuboresha usalama barabarani na kuondoa msongamano wa magari kwa kutengeneza maegesho sahihi ya magari na njia za waendao kwa miguu.
  2. Kusaidia juhudi za Manispaa ya Ilala za kupendezesha mitaa ya Jiji kwa kupanda miti na kuweka taa za barabarani

Mbinu za Utekelezaji:

  1. Kuanzisha sheria za maegesho ya magari katika barabara kwa kutegemea nafasi zilizopo
  2. Kuondosha maegesho yasiyo rasmi na kuanzisha maeneo rasmi ya maegesho ya magari kwa kuzingatia sheria.
  3. Kutekeleza/Kusimamia sharia za maegesho ya mitaaani kwa kuweka alama na michoro ya maegesho katika mitaa.
  4. Kujenga njia za waendao kwa miguu kwa kuboresha njia hizo pamoja na upandaji wa miti.

Faida za Mradi:

  1. Kuboresha mazingira mazuri na salama ya njia za waenda kwa miguu kandokando ya Mtaa wa Samora.
  2. Mazingira mazuri ya maegesho ya magari yatachangia mapato na kupandisha thamani ya ardhi/nyumba.

Hasara tarajiwa za Mradi:

  1. Wakati wa ujenzi, mradi utasababisha wateja kupungua katika maeneo ya biashara.
  2. Idadi ya maegesho ya Mtaa wa Samora yatapungua wakati na baada ya ujenzi wa mradi.
  3. Kwa kiasi kidogo kutakuwa na athari za kimazingira ikiwemo kelele za mitambo na vumbi litokanalo na utekelezaji wa kazi za ujenzi.


Hali Halisi ya Sasa ya mtaa wa Samora
Matatizo na Changamoto


Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili 2022 January 04, 2023
  • Taarifa kwa Umma kuhusu Wanafunzi kuripoti shuleni mwaka 2023 January 12, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2022 January 29, 2023
  • TANGAZO DHIDI YA UTAPELI WA AJIRA July 20, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Wilaya ya Ilala Awataka Wananchi Kupanda Miti Kwa Wingi

    March 29, 2023
  • Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wafanya mafunzo ya namna ya Utendaji kazi katika Idara hiyo Mpya

    March 29, 2023
  • Wazazi na Walezi watakiwa kuwapa Watoto Mlo Kamili

    March 29, 2023
  • Waziri Mkuu awataka Maafisa Habari Nchini kutekeleza wajibu wao

    March 27, 2023
  • Angalia zote

Video

NAPA
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi: 0713614364

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.