• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

DC Ilala awataka Madiwani na Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la DSM kusimamia Miradi ya Maendeleo ikamilike kwa wakati

Posted on: October 19th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka Waheshimiwa Madiwani kwa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha wanasimamia vyema utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa ukaribu zaidi ili ikamilike kwa wakati, hayo ameyasema leo Oktoba 19, 2023 Katika Ukumbi wa Arnatouglou Jijini Dar es Salaam wakati wa kikao maalumu cha Madiwani kupitisha taarifa ya ujenzi wa masoko ya kisasa.

Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Mpogolo amesema “Lengo la kikao hichi ni kuwaasilisha michoro ya majengo ya Masoko ya kisasa yanayoenda kutekelezwa katika Halmashauri yetu ikiwemo Soko la Ilala na Mchikichini ambayo yatakwenda kutuongezea mapato zaidi yatakayo tumika kuendeleza sekta nyingine za Afya pamoja na Elimu ikiwa ni kutekeleza adhima ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuboresha miundombinu na kuwapanga wafanyabiashara kufanya biashara katika maeneo maalumu hivyo niwaombe Waheshimiwa Madiwani kwa kushirikiana na viongozi wa Jiji la DSM msimamie miradi hii iweze kukamilika kwa wakati kwani jitihada za kuongeza mapato ndio zimeleta miradi hii ya kimkakati kwakua ujenzi wa Masoko haya utatusaidia kuwatambua wafanyabiashara na kudhibiti upotevu wa mapato.”

Sambamba na hilo Mhe. Mpogolo amewataka viongozi hao kushirikiana na kuwataka Waheshimiwa Madiwani kuainisha maeneo ya wazi yanayopatikana kwenye Kata zao kwani kupitia maeneo hayo miradi mingi itaendelea kutekelezwa kwa Kasi zaidi.

Kwa Upande wake Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amemuhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Ilala kutekeleza yote aliyoelekeza huku akimuahidi kuwa atashirikiana na Kamati zake za kudumu za Halmashauri kusimamia miradi hiyo ipasavyo ili ikamilike kwa wakati ikiwa ni sehemu ya kuboresha miundombinu pamoja na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salam Bw. Jomaary Satura ameeleza kuwa lengo la kikao hicho ni kuwashirikisha Madiwani katika utekelezaji wa miradi hiyo ya kimkakati ili waweze kutoa maoni kwani anaamini kupitia miradi hiyo Halmashauri itaenda kukusanya mapato kwa wingi na kupita lengo hata hivyo baada ya kuanzishwa Kanda saba za Huduma Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam robo ya Kwanza (Julai hadi Septemba) imeweza kukusanya kiasi cha shilingi bilion 31.5 hii inaonesha ni jinsi gani Jiji la Dar es Salaam limejikita katika kukusanya mapato na kuhakikisha huduma zinawafikia wananchi kwa ukaribu zaidi.

Aidha, katika kikao hicho wajumbe waliweza kufundishwa jinsi ya kuboresha na kupendezesha Mandhari ya Jiji la Dar es Salaam, namna ya kuitangaza Halmashauri katika utalii wa ndani, kuboresha eneo la Mnazi Mmoja kuwa la maegesho ya magari pamoja na kutenga eneo kwa ajili ya bandari kavu kwani kupitia miradi hii mapato ya Halmashauri yatazidi kuongezeka kwa kiwango kikubwa.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Magengeni - Chang'ombe umewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wazindua mradi wa Nishati Safi Soko la Samaki Feri

    June 03, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.