• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Halmashauri ya Jiji la DSM yaendelea kupiga hatua katika kupambana na kasi kudhibiti VVU na UKIMWI

Posted on: May 3rd, 2023

Halmashauri ya Jiji la DSM imeendelea kupiga hatua katika kudhibiti maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI kwani upimaji wa hiari wa Maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU), umeongezeka Katika Jiji la Dar es Salaam.

Hayo yamebainishwa Leo Mei 03, 2023 Jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Arnatouglou wakati wa muendelezo wa mafunzo kwa Baraza la Madiwani yenye lengo la kuwajengea uwezo wa namna ya kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili kuweza kufikisha elimu kwa Wananchi wao.

Akiwasilisha mada mbalimbali za Hali halisi ya VVU na UKIMWI pamoja na huduma zinazotolewa, Mratibu wa kudhibiti UKIMWI wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Dkt. Aisha Zuheri ameeleza kuwa “Takwimu zinaonesha namna gani Mkoa wa Dar es Salaam umepiga hatua kubwa kwani maambukizi yameweza kushuka mpaka asilimia 4.7 huku Jiji la Dar es Salaam ikifikia asilimia 108.2% ya kufubaza UKIMWI. Pia dadi ya waliopima na kuandikishwa katika kliniki imefikia jumla ya watu 70,261."

Sambamba na hilo Madiwani hao waliweza kufundishwa matumizi sahihi yakutumia kondomu kama njia mojawapo ya kupunguza maambukizi ya Virusi ya UKIMWI.

Kwa upande wake Mratibu wa VVU na UKIMWI Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (CHAC) Ndg. Barnabas Kisai akiwasilisha mada ya Wajibu na Majukumu ya Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ameweza kuwakumbusha Madiwani kuhakikisha wanafuatilia kwa ukaribu zaidi Kamati za Kata kutekeleza majukumu yao ili kuhakikisha elimu zinawafikia wananchi na maambukizi kupungua zaidi ya hapo awali.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (KONGA) Bw. Emmanuel Reubent Msinga, ameishukuru Serikali kwa kuwajali wanaoishi na virusi vya Ukimwi kwani kupitia mikopo ya asilimia 10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri kiasi cha shilingi kimetolewa kwaajili ya kuwasaidia Waviu kwaajili ya kufanya shughuli mbalimbali za kiijamii.

“Tunaishukuru Serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kutujali sisi watu tunaoishi na virusi vya UKIMWI kwani kupitia mkopo wa asilimia 10% za mapato ya ndani ya Halmashauri vikundi 5 vimeweza kupewa mkopo wa shilingi ambao husaidia kutekeleza miradi mbalimbali tuliyoianzisha na kuhamasisha wanafunzi namna ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI hivyo kwa niaba ya wanakonga wenzangu tutahakikisha tunashirikiana na serikali katika mapambano dhidi ya UKIMWI.” ameeleza Bw.Msinga.

Akifunga mafunzo hayo Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Mhe. Ojambi Masaburi amesema “Nipende kuwashukuru wawezeshaji wote mliowezesha mafunzo haya pamoja na madiwani wote mlioshiriki katika mafunzo hayo kwani elimu mliyopewa ni kubwa sana na niimani yangu mtapeleka elimu kwa Wananchi wetu na maambukizi yatazidi kupunguza kwa asilimia kubwa zaidi.”

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.