• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala yamshukuru Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa pesa kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa

Posted on: December 2nd, 2022

Kamati ya siasa Wilaya ya Ilala leo tarehe 2 Disemba 2022 imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Ilani ya Chama cha Mapinduzi, kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala Ndg. Saidi Side pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ngwilabuzu Ludigija ambapo wameweza kutembelea ujenzi wa vyumba vya madarasa.

Kamati ya Siasa imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi katika ngazi ya  ujenzi wa madarasa ya mradi wa "Pochi ya Mama" katika Wilaya ya Ilala. Ndg. Side amesema "Tunamshukuru Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 6 katika Wilaya ya Ilala kwa ajili ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa. SIsi kamati ya Siasa tumetembelea ujenzi huu wa madarasa tumeridhishwa mpaka sasa asilimia 80% ya kazi iliyofanyika ni kazi bora na nzuri sanaa umezingazia viwango tunawapongeza pia maafisa wote, walimu, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na wengine kwenye kuimarisha usimamizi"

Akiendelea kusema kuwa changamoto zilizopo ni ndogo kuelekea mwezi wa kwanza kuweza kukamilisha ili wanafunzi watakao chaguliwa kuingia kidato cha kwanza waweze kupata elimu kwa wakati.

Aidha, mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala ameeleza kwamba kwa shule zote ambazo ujenzi unasua sua waimarishe nguvu ili wakamilishe kwa wakati pia wote ambao wamefanya vizuri katika kutekeleza ujenzi huu basi wapewe motisha.

"Mimi na kamati yangu ya siasa pamoja na wajumbe wote wa CCM Wilaya tumejifunza vingi sana katika ziara hii nawapongeza sana wajumbe kwa kujitoa vile vile Mkurugenzi aweke uangalizi kwa wote wanaofanya vizuri katika ujenzi huu wapewe motisha na wote wanaofanya vibaya hawana budi kutembelea na kujifunza kwa wenzao"

Vilevile Mkuu wa Wilaya ya Ilala amekiri kuona kazi inayofanywa na kamati ya Siasa katika ukaguzi wa miradi ikiwa ni sehemu ya utekelezwaji wa ilani ya CCM akiwa ameongozana na kamati hiyo amesema "Ninakiri kuwa kamati ya Siasa Wilaya ipo vizuri na nitatoa maagizo katika kuzidi kufuatilia ufanyaji wa kazi usiku na mchana ili ujenzi huu umalizike kwa wakati kabla ya mwezi wa kwanza"

Akiwa katika Majuhisho ya ziara hiyo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Anatoglou Mnazi Mmoja Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Ndugu Side ameeleza kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Idara ya maendeleo ya Jamii katika utoaji wa mkopo wa asilimia kumi kwa vijana, wanawake na watu wenye Ulemavu.

"Sisi kama kamati ya Siasa tunaahidi kuunga mkono na tutafuatilia kwa kiasi kikubwa urejeshaji wa mikop hii kutoka kwa vikundi vyote na tutaanza vile vya vijana wa CCM"

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Magengeni - Chang'ombe umewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wazindua mradi wa Nishati Safi Soko la Samaki Feri

    June 03, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.