• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala yaridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Jiji la DSM

Posted on: August 15th, 2024

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala chini ya Mwenyekiti wake Ndg. Said Sidde leo tarehe 15 Agosti, 2024 imefanya ziara ukaguzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Jiji la DSM ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.

Miradi iliyotembelewa na Kamati hiyo ni pamoja na Mradi wa Ujenzi wa ghorofa sita Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jiji la DSM wenye thamani ya shilingi Bilioni 30, ujenzi wa Barabara ya Bima – Kimanga kiwango cha lami yenye urefu wa mita 400 wenye thamani ya milioni 593 ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mitaro na kuweka taa za kisasa, Ujenzi wa vyumba vya madarasa 20 na matundu ya vyoo 45 katika Shule ya Sekondari Bonyokwa wenye thamani ya milioni 539.

Akiongea wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala Ndg. Said Sidde amesema “Naipongeza Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wakiongozwa na Mstahiki Meya na Mkurugenzi, pia nampongeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwa ongeze kubwa la mapato na kusimamia na kutekeleza miradi kwani thamani ya fedha inaonekana na miradi inatekelezwa kwa kiwango cha juu. Hii inaonyesha ni jinsi gani Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inavyotekelezwa kwa kasi hivyo niwaombe kukamilisha miradi  ambayo bado inasuasua hasa barabara Bima - Kimanga kwani barabara hii ni muhimu kwa wakazi wa Tabata kwa usafirishaji.”

Pia, Ndg. Said Sidde ameongeza “Natoa maelekezo kwa viongozi na watendaji wa Halmshauri ya Jiji la DSM kuhakikisha mnachagua wakandarasi wazawa wenye uwezo na uzoefu ili waweze kukamilisha miradi kwa ubora na wakati ili wananchi waweze kufurahia huduma. Pia natoa wito kwa maeneo ya wazi yanayomilikiwa na Halmshauri mkaribishe wawekezaji wawekeze ili kuongeza ajira na mapato ya Halmashauri na Nchi kwa ujumla."

Awali akiwasilisha taarifa ya miradi na utekelezaji wa Ilani kwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala, Mkuu wa Wilaya ya hiyo Mhe. Edward Mpogolo ameeleza kuwa “Viongozi tuna deni kwa Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, kwa sababu fedha zote zilishatolewa. Hivyo ni matumaini yake kuona miradi yote katika sekta za Elimu, Afya, na Barabara inakamilika kwa wakati. Hivyo nitoe wito kwa wasimamizi wa miradi kujituma na kufanya kazi kwa bidii ili kukamilisha miradi kwa manufaa ya wananchi wa Ilala na maeneo ya jirani.”

Kwa upande Mstahiki Meya Mhe. Omary Kumbilamoto amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa pesa anazotoa kwa Halmashauri yetu, pia amemshukuru Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala kwa ziara aliyoifanya huku akimuhakikishia kutekeleza maelekezo yote aliyoyatoa kwa manufaa ya wananchi.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.