• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Mheshimiwa Zungu Akabidhi Madawati 300 Katika Shule ya Sekondari Ilala Kasulu

Posted on: March 25th, 2023

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu leo tarehe 25 Machi, 2023 amekabidhi madawati 300 katika Shule ya Sekondari Ilala Kasuluiliyopo Kata ya Ilala ambapo Madawati 200 yametolewa na Mheshimiwa Zungu huku madawati 100 yakitoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha Ilani ya Chama Cha Mapinduzi inatekelezwa kwa kiasi kikubwa na kuhakikisha Sekta ya elimu inakua katika ufanisi na wanafunzi wote wanasoma katika mazingira bora na tulivu.

Akiongea katika hafla hiyo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu ametoa shukurani zake za pekee kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na watendaji wake wote kwa kutatua kero ya madawati katika Shule ya Sekondari Ilala Kasulu huku akiwaahidi kuendelea kushirikiana nao katika kujenga na kuimarisha sekta ya elimu nchini, “Katika kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi tumeweza kutoa madawati 300 katika Shule yetu ya Sekondari Ilala Kasulu ambapo Juhudi zote hizi ni kutokana na jitihada za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kipaumbele katika Sekta ya elimu kwani kutokana na mchango wake katika kuipa kipambele elimu kwa kujenga Madarasa Katika Shule zetu hivyo na sisi hatunabudi kuleta madawati ili wanafunzi wetu waweze kusoma katika mazingira mazuri na salama.”

Aidha kwa upande wake Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi.Tabu Shaibu ameeleza kuwa “Katika utekelezaji wa Ilani ya Chama cha mapinduzi tumeweza kutekeleza na kukuza sekta ya elimu kukua katika ufanisi unaotarajiwa hivyo ni wahakikishie changamoto hizi zitaisha kabisa kwani tutashirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha tunamaliza changamoto zote zinazokabili sekta ya elimu katika Halmashauri yetu.”

Nae Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Ilala Kasulu Mwl. Hamis Ernesti Masatu amesema “Tunamshukuru sana Mbunge wetu pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kutupatia madawati 300 ambapo kwa kiwango chake tumepunguza idadi ya uhitaji wa madawati katika shule hii ya Sekondari Ilala Kasulu kwani tumepata nyongeza ya madawati takribani 86 hivyo wanafunzi wetu wataweza kusoma katika mazingira tulivu na idadi ya ufaulu itazidi kuongezeka. Pia tunaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya miaka hii miwili ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu tuliweza kupata fedha za madarasa ya Uviko ila kutokana na ufinyu wa eneo fedha hizo zikahamishiwa sehemu nyingine”.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.