• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ahimiza uzingatiaji wa lishe Bora kwa Mama wajawazito

Posted on: June 6th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka mama wajawazito kuzingatia lishe bora kwani lishe bora wakati wa ujauzito ni muhimu sana kwa sababu humpatia mama virutubishi muhimu kulingana na hali yake. Wakati wa ujauzito mama anahitaji virutubishi zaidi kwa ajili ya maendeleo yake kiafya pamoja na mtoto aliyetumboni. Lishe bora huimarisha afya ya mama na humsaidia mtoto kukuwa vizuri kimwili na kiakili.

Mhe. Mpogolo ametoa wito huo leo Juni 6, 2024 wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uhamasishaji lishe bora kwa mama wajawazito na watoto wa umri chini ya miaka mitano katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar ee Salaam Sambamba na kauli mbiu isemayo ‘Lishe bora kwa baba, mama na mtoto ni msingi wa jamii bora na Taifa endelevu’.

Akiongea katika hafla hiyo Mhe. Mpogolo amesema “Taarifa zilizopo zinaonesha hali ya lishe miongoni mwa Watoto hairidhishi kutokana na kuathiriwa na tatizo la udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, uzito pungufu na ukondefu sasa tunapaswa kuchukua hatua stahiki kusimamia suala zima la watoto lakini pia Lishe bora kwa mama mjamzito hivyo nitoe wito kwa akina baba kushiriki katika kupambania masuala ya lishe kwa watoto wetu kwani Sisi kama Serikali tumeweka mikakati ya kuhakikisha wazazi na walezi wanazingatia lishe bora hii ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha jamii zetu zinazingatia afua za lishe hivyo zoezi hili linatarajiwa kufanyika kwa wiki moja ya kufanya tafakuri ya lishe ambayo ni lishe ya baba mama na mtoto”.

Sambamba na hilo, Mhe. Mpogolo Amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazoendelea kuzitoa katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya kuboresha miundombinu ya afya ili wananchi wapate huduma bora za Afya kwa wakati huku akieleza kuwa Serikali imeidhinisha shilingi bilioni 21 kwaajili ya ujenzi wa Hospitali tatu katika halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na tayari bilioni 15 zishawekwa na hospitali hizo zitaenda kujengwa eneo la Mnazi Mmoja kwa Jimbo la Ilala, eneo la Pugu kwa Jimbo la Ukonga na Segerea ambapo uwepo wa hospitali hizi utasaidia huduma za afya kupatikana kwa wakati.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Jiji la Dar es Salaam Dkt. Zaituni Hamza ameeleza kuwa Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii imeendelea kutekeleza maagizo ya kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa, lishe inazingatiwa pamoja na kupunguza vifo vya mama wajawazito kwani katika kutekeleza hayo Idara imekua ikifanya semina mbalimbali kuhusu lishe kwa mama wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka mitano, huduma za mawasiliano zimeboreshwa kwani Idara imeweka namba ya dharura endapo mjamzito atapata changamoto atazitumia ili kupata huduma kwa uharaka hii itasaidia kupunguza vifo vya mama na mtoto pia katika hafla hiyo idara inaenda kuwapatia Kadi za CHIF watoto chini ya miaka mitano wanaoishi katika mazingira magumu hii inaonyesha ni jinsi gani idara inatekeleza maagizo ya kuboresha huduma za afya pamoja na kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya kwa wakati.

Aidha, katika Hafla hiyo kulikua na uzinduzi wa chanjo ya matone ya vitamini A pamoja na ugawaji wa mavazi ya uzazi (maternity Dress) kwa wamama wajawazito wasiopungua 100 na wanaonyonyesha zenye ujumbe usemao ‘asante mama Samia mimi na mtoto tuko salama’.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.