• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awataka Wajasiriamali kuwekeza kwenye Kilimo

Posted on: September 13th, 2023

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu amewataka wajasiriamali kuwekeza kwenye miradi ya kilimo kama sehemu ya ujasiriamali wao, hayo ameyabainisha leo wakati akifunga Maonesho ya siku tatu ya Wajasiriamali yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala chini ya Programu ya Imbeju.

Akiongea wakati wa Kufunga maonesho hayo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam Mhe. Zungu amesema “Niwashukuru sana CRDB Bank kwa mchango huu mkubwa wa kuendelea kuinua wajasiriamali ikiwa ni sehemu ya kuwapa vijana na wanawake ajira. Hivyo niwaombe Mikopo mnayoitoa iwe na riba ndogo ili kuzidi kuhamasisha wajasiriamali katika shughuli zao za kukuza uchumi wao na wananchi kwa ujumla. Pia nipende kutoa wito kwa wajasiriamali wote msiache kujihusisha na miradi ya kilimo kwa mikopo inayotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na benki mbalimbali hivyo ni vyema mkajihusisha pia miradi hiyo ili kupata fursa zaidi ya hizi lzitakazo wakwamua Kiuchumi.”

Smbamba na hilo Mhe. Zungu ametoa agizo kuwa wagambo wote wakorofi wanaowaonea wafanyabiashara wakamatwe ili wananchi wawe na amani kwani amani ni dhana muhimu kwa kila Mtanzania wakawaida.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesema “Jambo hili lilikua wazo na sasa limekua kweli hivyo niwashukuru sanaCRDB Bank kwa kukubali kushirikiana nasi kuwezesha maonesho haya hivyo kwaniaba ya Serikali niwashukuru wajasiriamali kwa kuitikia na kuonesha muamko mkubwa na ninaamini wakati mwingine tutaboresha maonesho haya ya endelevu kuwa bora zaidi ya hapa.”

Naye Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Fransisca Makoye ameeleza kuwa “Tukiwa na dhamana ya kusimamia wajasiriamali kama Idara tumeweza kufanya tathmini ya maonesho haya kuanzia tarehe 11 hadi leo hii tarehe 13 ambapo wajasiriamali waliweza kutoa maoni yao kuwa siku za maonesho haya ziongezwe kutoka siku tatu hadi saba huku zaidi ya asilimia 9% ya wahasiriamali waliweza kuelewa elimu waliyopewa juu ya mambo mbalimbali hivyo nizishukuru Taasisi zote zilizoungana nasi kwa siku tatu hizi kutoa elimu kwa wajasiriamali kwani wajasiriamali hawa wamepata fursa ya kutambulisha biashara zao na kupata fursa zaidi.”

Maonesho hayo ya siku tatu (tarehe 11-13 Septemba, 2023) yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya yamefanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam yakiwa na lengo la kutoa muamko kwa wajasiriamali ili waweze kuchangamkia fursa mbalimbali zinazopatikana baada ya kujiunga na majukwaa mbalimbali yanayoambatana na elimu ya ujasiriamali.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.