• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Shilingi Bilioni 10.75 kutekeleza Miradi ya Ujenzi wa Barabara Jiji la DSM

Posted on: July 15th, 2024

Shilingi bilioni 10.75 fedha kutoka mapato ya Halmashauri zimetengwa kwaajili ya ujenzi wa barabara Jiji la Dar es Salaam  kwa kiwango cha lami na zege. Hayo yamebainishwa leo Julai 15, 2024 na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Jomaary Satura kwenye hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa barabara 10 kati ya Jiji la Dar es Salaam na wakandarasi wanaoenda kutekeleza miradi hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka Wakandarasi kuwa waadilifu kwa kuhakikisha wanakamilisha miradi kwa wakati huku akiwasisitiza washirikiane katika kazi ili kuleta matokeo yenye tija kwa maslahi ya Wananchi.

Sambamba na hilo Mhe. Mpogolo ametoa pongezi kwa Mstahiki Meya na Madiwani kwa usimamizi mzuri wa miradi huku akimpongeza Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Watendaji wa Jiji kwa kasi ya ukusanyaji wa mapato ambao umekua chachu ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Jiji la Dar es Salaam.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amemshukuru Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazotoa kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo huku akitoa wito kwa Wakandarasi kutekeleza miradi kwa wakati uliopangwa ilo waweze kutimiza adhma ya Rais ya kuhakikisha huduma bora zinawafikia wananchi kwa wakati.

Awali akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndugu Jomaary Satura ameeleza kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imejipanga kuboresha ustawi wa maisha ya wananchi kwa kuzingatia nyanja zote muhimu ikiwemo elimu, afya na miundombinu hivyo katika kutekeleza hilo JiJi la Dar es Salaam limeweza kutenga asilimia 10 za mapato ya ndani kwaajili ya uboreshaji wa miundombinu ya barabara ambapo bilioni 10.7 itatumika kutekeleza miradi hiyo.

“Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumekusanya shilingi bilioni 111 kwa mwaka wa fedha 2023/2024 sawa na ongezeko la bilioni 30 ikilinganishwa na mwaka 2022/2023 hivyo kutokana na mapato haya kuongezeka, shilingi bilioni 10.7 imetengwa kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya barabara 10 za ndani Jiji la Dar es Salaam zinazoenda kutekelezwa kwa kiwango cha lami na zege na leo tunasaini mikataba na wakandarasi wanaoenda kutekeleza miradi hiyo, hivyo niimani yangu wakandarasi waliochaguliwa ni wakandarasi wenye uwezo wa kujisimamia wenyewe na watakamilisha mradi kwa wakati pia niwatake muwe waadilifu kwa kutekeleza majukumu ipasavyo kwa faida ya watanzania wengine.” Amesisitiza Ndg. Satura.

Naye Mkandarasi kutoka Kampuni ya Southern Link Bw. John Mosha ameishukuru Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kuchaguwa wakandarasi wazawa huku akiwahakikishia kutekeleza miradi hiyo kwa kiwango bora na kwa wakati.

Aidha, Miradi hii inatarajiwa kukamilika ndani ya muda wa miezi mitatu.


















Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Magengeni - Chang'ombe umewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wazindua mradi wa Nishati Safi Soko la Samaki Feri

    June 03, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.