• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Uzinduzi wa Mradi na Ukarabati wa Miundombinu ya Maji Safi na Salama katika Gereza la Maabusu Segerea

Posted on: August 25th, 2021

Na; Judith Msuya

Mfuko wa maendeleo ya jamii(TASAF) kupitia Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam  leo August 25, 2021 wamezindua mradi wa ukarabati wa miundombinu ya maji safi na salama pamoja na uwekaji wa tank  la liter Laki 1 katika ukumbi wa  Gereza la Maabusu Segerea lengo likiwa ni kusaidia upatikanaji wa maji safi na salama katika Gereza hilo.

Akizungumza katika Hafla hiyo  Mratibu wa TASAF - Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Bi. Marcella Msawangwa amesema kuwa mfuko wa maendeleo ya jamii(TASAF)  kwa awamu ya Tatu ambao ulizinduliwa kwa lengo la kunusuru kaya maskini katika sekta ya Afya, Elimu pamoja na kusaidia jamii kutekeleza miundombinu ya Maji na barabara ameona kuwa hanabudi I us a id is upatikaji wa maji safi na salama kwa Gereza la Maabusu Segerea ili kuweza kutatua changamoto ya maji katika Gereza hilo.

Aidha Bi. Maricella ameeleza kuwa mradi huo ambao  unatarajiwa kukamilika Desemba, 2021 utagharimu takribani shillingi million 197  ambapo mradi huo   utaanza kutekelezwa mara baada ya mafunzo ya siku tatu (3) ambayo yalizinduliwa katika hafla na kuanza rasmi Agust 25 hadi Agust 27, 2021 hivyo baada ya mafunzo hayo  kukamilika mradi utaanza kutekelezwa kwani utaratibu wa manunuzi pamoja na kupata local fundi ushaanza kufanyika.

"Ni matumaini yangu kuwa kwakua tushatangaza tender za kupata local fundi mara baada ya mafunzo tutaanza utekelezaji wa mradi ambao unatarajiwa kukamilika Desember 2021 kwani fedha ya kutosha ipo hivyo hakutakua na changamoto ya kifedha itayokwamisha mradi  huu".alieleza Bi.Marcella.

Vilevile, Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Gereza la Maabusu Sagerea Mrakibu wa Maabusu Athanas Ndowano ameeleza kuwa tatizo la maji katika Gereza hilo ni kubwa ukilinganisha na mahitaji ya watu waliopo maabusu hivyo ujio wa mradi huu ni ukumbozi mkubwa kwa Gereza la Maabusu Segerea pamoja na wananchi wa mtaa wa Mgombani na Kata za jirani ambao wataweza kufaidika na mradi huu.

"Tatizo la maji lilikua kubwa hivyo tunatoa shukrani zetu kwa Mradi wa maendeleo ya Jamii (TASAF) pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuona tatizo la Magereza kama sehemu yao hivyo tunaahidi kufanya kazi kwa uweledi mkubwa kama ilivyokusudiwa".alisema Mkaribu Athanas.

Sambamba na hilo akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es Salaam Comisioner msaidizi wa Magereza Focus  Ndabita ameahidi kuwa  watasimamia kamati ya ujenzi wa mradi huo na watahakikisha wanafuatilia kwa ukaribu na weledi mkubwa ili ujenzi huo uweze kukamilika kwa wakati.

 Akifungua mafunzo pamoja na kuzindua mradi huo wa ukarabati wa miundombinu ya maji safi na salama pamoja na ujenzi wa tank la lita Laki 1 kwa niaba ya Mkurugunzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bw. Rajabu Ngoda amesisitiza  ushirikishwaji wa wananchi katika utekelezaji wa mradi huo pamoja na utunzaji wa nyaraka ili hata ifikapo kipindi cha Mwenge wa Uhuru 2022 mradi uweze kuwekewa jiwe la Msingi bila dosari yoyote.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Magengeni - Chang'ombe umewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wazindua mradi wa Nishati Safi Soko la Samaki Feri

    June 03, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.