• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Wamiliki wa Day Care wapewa Elimu ya Afya na Ustawi wa Jamii

Posted on: September 12th, 2023

Katika kutegeleza Agizo la Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Philip Mpango kuwa ndani ya siku 90 Halmashauri zihakikishe zinatambua Day Care zote zilizokidhi vigezo vya ubora na ambazo hazijakidhi vigezo zifungiwe, hivyo katika kutekeleza agizo hilo Halmashauri ya Jiji la  Dar es Salaam kupitia Idara ya Afya divisheni ya Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala leo Septemba 12, 2023 wameandaa mafunzo kwa walezi na wamiliki wa Day Care yenye lengo la kuwapa elimu kuhusu maswala ya lishe, Ustawi wa jamii na afya kwa ajili ya makuzi ya watoto mashuleni ikiwa ninsehemu ya kutekeleza Ilani kama inavyoagiza.

Aidha, Katibu wazazi wilaya ya Ilala Mhe. Mtiti Mbassa Jirabi ameeleza kuwa  “Jumuiya hii ni  chombo kinachoongozwa na Chama cha Mapinduzi yenye majukumu ya kueleza kufafanua na kusimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa sera ya malezi kwa watoto na vijana wa Tanzania pamoja na kujishughulisha na maendeleo ya familia na Taifa kwa ujumla kama inavyoelezwa katika kitabu cha ilani kifungu 4 uk (iii) hivyo katika kutekeleza ilani tumefanya mafunzo haya ili kujua ufanisi wa malezi ya watoto katika vituo hivyi na  kuhakikisha utekelezaji wa sera ya malezi kwa watoto pia tukitaka kujua changamoto zinazowakabili walezi na wamiliki wa Day Care hizi hivyo niwaombe Maafisa Ustawi kuhakikisha  tunashikamana na kuwafundisha watoto wetu ili waweze kukua katika utamaduni wa Taifa letu.”

Akiongea katika mafunzo hayo  Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Zeituni Hamza ameeleza  uwepo wa maji safi katika vituo, uwepo wa vyoo safi na salama na usafi wa mazingira na mtu binafsi katika vituo vya kulelea watoto ili kuepukana na magonjwa kwani mazingira bora ni dhana bora katika kuwajengea watoto uwezo wa kufikiri na kupata malezi bora.

"Mmepewa dhamana na jukumu kubwa la  kukaa na watoto wanapokuwa mashuleni hakikisheni mazingira yana kuwa safi na salama japo ulezi sio kitu rahisi sana lakini tuhakikishe tunaitunza dhima ya nchi yetu kuhakikisha watoto wetu wanapata afya na elimu bora."

Kwa upande wake mratibu wa malezi ya watoto Wilaya ya Ilala Bi. Suzan Mdesaameeleza  maswala yambalimbali ya usalama kwa watoto ikiwemo Day care zote kuzungushiwa ukuta ila kuepukana na  ukatili wa kijinsia kwa watoto mashuleni kwa hivyo amewaasa walezi na wasimamizi wa shule kuhakikisha wanazingatia malezi ya watoto hao sambamba na kuhakikisha wazazi wanazingatia kuzungumza na watoto mara kwa mara ili kujua endapo kuna changamoto zinazowakabili.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.