Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ina mipango ya kujenga jengo la kibiashara kwa lengo la kupangisha wafanyabiashara mbalimbali. Jengo litakuwa na ukubwa wa ghorofa nne. Mradi huu utagharimu jumla ya Tsh.1.4 Bilioni. Mradi unatarajia kuiingizia Halmashauri kiasi cha Tsh. 460 milioni kwa mwaka.
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Postal Address: S.L.P 20950
Telephone: 0738 378 386
Mobile: 0738 378 386
Email: info@dcc.go.tz
Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.